Kama ni kusajili utapewa namba mpya itakayokuwepo Bara, kama nikulinganisha J inawezakuwa B Kwa bara, Kwa sababu namba mpya Znz Kwa muda huu L ili Hali Kwa Dar ni D.
Kuhusu ushuru nenda ZRB au TRA Znz upapewa maelekezo yote, hesabu itapigwa Kwa kuangalia muda ambao gari inetumika Zanzibar, kama inavibali vyoote wao wanaita kupasishwa, nk.
Kwa gari za namba L inehesabika kuwa mpya hivo itapigiwa Kodi ya bara, manake ni nini? Watachukuwa Kodi ulipaswa kulipa bara wanatoa Kodi uliolipa znz, Baki ndo Kodi unayopaswa kulipa. Usafiri kwenye meli kwa Toyota Rumion ni kama laki 3. Ila Kwa hiyo namba Kodi utayochajiwa ni ndogo Sana, sijui Kwa utaratibu wa sasa wa TBS kukagua ubora kama utapitishwa tena huko