Vi rendra JF-Expert Member Joined Sep 11, 2017 Posts 3,271 Reaction score 5,617 Apr 28, 2019 #21 lazalaza said: Fungua uzi wako andika tatizo lako watakujibu, lkn hivyo unavyotaka siyo rahisi maana utajua kazi ya muhusika moja kwa moja Click to expand... [emoji24]kufungua uzi mtihani maana umu kila mtu akili zake mwingine badala akushauri anakukejeli
lazalaza said: Fungua uzi wako andika tatizo lako watakujibu, lkn hivyo unavyotaka siyo rahisi maana utajua kazi ya muhusika moja kwa moja Click to expand... [emoji24]kufungua uzi mtihani maana umu kila mtu akili zake mwingine badala akushauri anakukejeli
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Apr 28, 2019 #22 Vi rendra said: [emoji24]kufungua uzi mtihani maana umu kila mtu akili zake mwingine badala akushauri anakukejeli Click to expand... Hapa utachagua pumba na mchele, Wala use hofu my dear kuna watu wanatatizo kubwa zaidi ya hilo lako. Chukua maamuzi fungua uzi, usijali kejeli za wengine
Vi rendra said: [emoji24]kufungua uzi mtihani maana umu kila mtu akili zake mwingine badala akushauri anakukejeli Click to expand... Hapa utachagua pumba na mchele, Wala use hofu my dear kuna watu wanatatizo kubwa zaidi ya hilo lako. Chukua maamuzi fungua uzi, usijali kejeli za wengine