Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nina ndugu yangu amemaliza mwaka uliopita (2014) form Iv na kupata alama zifuatazo
History E
Geography D
Kiswahili B
English C
Civics C
Biology C
Basic mathematics F
Vp kwa matokeo ayo anaweza kupata nafasi ya kujiunga na certificate ya Nursing katika chuo cha serikali??naomba nifahamishwe wanajamvi
Nina ndugu yangu amemaliza mwaka uliopita (2014) form Iv na kupata alama zifuatazo
History E
Geography D
Kiswahili B
English C
Civics C
Biology C
Basic mathematics F
Vp kwa matokeo ayo anaweza kupata nafasi ya kujiunga na certificate ya Nursing katika chuo cha serikali??naomba nifahamishwe wanajamvi