Naomba kufahamishwa kiundani gari aina ya Toyota belta

Naomba kufahamishwa kiundani gari aina ya Toyota belta

Mtanmtan

Member
Joined
Aug 26, 2020
Posts
14
Reaction score
7
Wakuu natanguliza shukurani za dhati kwenu,

Pia nakuja na ombi juu ya kuifahamu kiundani hii gari ndogo toyota belta maana nimejichanga nataka kuwa na kausafiri .... lakini kabla ya kuchukua maamuzi ni gari gani naomba kujua raha na karaha ya hii gani maana kulingana na cc zake niliona kama itanifaa juu ya ulaji wa mafuta.

Naomba mwenye ufahamu juu ya hii gari inipe info zake.

1612250740934.png

Toyota Belta
 
Belta ni Vitz au Ractis katika umbo la sedan. Ina engine ya CC 996 cc 1KR-FE I3 , 1.3 L 2SZ-FE I4, 1.3 L 2NZ-FE I4 na 1.5 L 1NZ-FE .
Ila kwa performance tafuta yenye engine ya 1NZ-FE ,CC 1500. Hizo nyingine ni shida tupu kwa performance.
Kila la kheri
 
Belta ni gari nzuri. Ila kwa hiyo unayoifikiria wewe ina changamoto moja kuu.

Vibrations ambazo husababishwa na kuziba kwa masega(catalytic conveter) au kutokuwepo kabisa au alternater kuongeza mzigo kwenye engine.

Pia engine yake ikishachoka kinavibrate sana.

So far ni kigari kizuri. CVT transmission, oil yake unatembelea mpaka unasahau, japo haitaki overload na stress kabisa.

Japo kama mimi ningekushauri uchukue angalau yenye engine ya 2SZ-FE au 2NZ-FE na kuendelea.
 
Belta ni gari nzuri. Ila kwa hiyo unayoifikiria wewe ina changamoto moja kuu.

Vibrations ambazo husababishwa na kuziba kwa masega(catalytic conveter) au kutokuwepo kabisa au alternater kuongeza mzigo kwenye engine...
Muongezee akiipata aongezee suspension make hii gar iko chini sana na ukipakia watu wawil nyuma na bumps zetu ni keroooo
 
Kenya inatumika Kwenye biashara ya Uber hasa Nairobi zipo nyingi Sana ni kama ilivyo Tanzania na IST
 
Back
Top Bottom