Naomba kufahamishwa kuhusu fuel consumption toka Dar es Salaam mpaka Mwanza

Naomba kufahamishwa kuhusu fuel consumption toka Dar es Salaam mpaka Mwanza

Kimbache

Member
Joined
Oct 7, 2015
Posts
9
Reaction score
12
Hi,

Naomba msaada kwa anayefahamu. Naomba kufahamu roughly ni Diesel/Petrol kiasi gani naweza kutumia kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kwa kutumia Gari lenye Engine Capacity (cc) 3000. Aina ya Gari ni LAND CRUISER 200 VX Wagon V8 DIESEL AUTOMATIC 4WD.

NB NAHIYTAJI UHALISIA NA UZOEFU ZAIDI KULIKO SCIENCE NA SPECIFICATION, kwani hili gari fuel economy yake kutokwa kwa manufacturer inapokuwa kwenye hali yaje mzuri bila ya uchakavu ni 9.5L/100km inamaana inakula lita 1 kwa kila kilomita 10.5.

ZINGATIA KUWA GARI HILI LINA UMRI WA MIAKA 5 TU. PIA CHUKULIA UMBALI KUTOKA DAR MPAKA MWANZA NI KILOMITA 1150. ASANTENI
 
Gari ina cc3000. Halafu ni VX 4.5L v8! Umenikumbusha kuna jamaa aliingia kwa dealer wa Range Rover akaanza kuuliza habari za fuel consumption wakamwambia wewe si mteja wa RR.

Samahani mkuu mwenye VX haulizii fuel consumption.
 
Gari ina cc3000. Halafu ni VX 4.5L v8! Umenikumbusha kuna jamaa aliingia kwa dealer wa Range Rover akaanza kuuliza habari za fuel consumption wakamwambia wewe si mteja wa RR.

Samahani mkuu mwenye VX haulizii fuel consumption.
Na mimi nimeshangaa... Cc 3000 afu engine 4.5L afu alivyoandika kama vile anajua anachokizungumzia
 
Ipi sasa ya cc3000 au 4.5L?
👇🏿
hili gari fuel economy yake kutoka kwa manufacturer inapokuwa kwenye hali yake nzuri bila ya uchakavu ni 9.5L/100km ina maana inakula lita 1 kwa kila kilomita 10.5.
 
Sorry i mean
Gari ina cc3000. Halafu ni VX 4.5L v8! Umenikumbusha kuna jamaa aliingia kwa dealer wa Range Rover akaanza kuuliza habari za fuel consumption wakamwambia wewe si mteja wa RR.

Samahani mkuu mwenye VX haulizii fuel consumption.
sorry i meant 3000cc sio 4500cc
 
Hi,

Naomba msaada kwa anayefahamu. Naomba kufahamu roughly ni Diesel/Petrol kiasi gani naweza kutumia kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kwa kutumia Gari lenye Engine Capacity (cc) 3000. Aina ya Gari ni LAND CRUISER 200 VX Wagon V8 DIESEL AUTOMATIC 4WD.

NB NAHIYTAJI UHALISIA NA UZOEFU ZAIDI KULIKO SCIENCE NA SPECIFICATION, kwani hili gari fuel economy yake kutokwa kwa manufacturer inapokuwa kwenye hali yaje mzuri bila ya uchakavu ni 9.5L/100km inamaana inakula lita 1 kwa kila kilomita 10.5.

ZINGATIA KUWA GARI HILI LINA UMRI WA MIAKA 5 TU. PIA CHUKULIA UMBALI KUTOKA DAR MPAKA MWANZA NI KILOMITA 1150. ASANTENI
Roughly ni lita 130 na speed isizid 140 km/h...
 
Back
Top Bottom