Naomba kufahamishwa kuhusu Katiba pendekezwa

Naomba kufahamishwa kuhusu Katiba pendekezwa

Butoto

Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
12
Reaction score
0
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kuhusu hii KATIBA yetu inayopendekezwa ina SURA ngapi na IBARA ngapi?
Baada ya hapo ninaomba mnifafanulie kuhusu sura inayohusu Haki na Wajibu wa raia inakuaje.

Naomba kuwasilisha kwenu
 
Nakushauri upate muda wa kuisoma,hapa JF utapata msaada lakini ni vema ukajipatia copy yako mwenyewe uisome uielewe ili uwe na maamuzi yako mwenyewe wakati wa kupiga kura.Kwa ujumla Katiba ina sura 19 na Ibara zote ziko 296 hii inatokana na jinsi nilivyoisoma,Sura ya 5 inaeleza Haki za Binadamu ,Wajibu wa Raia,Jamii na Mamlaka ya Nchi ndiyo imesheheni masuala unayoyataka hopo zaidi Members watachangia mie yangu ni hayo kama utanielewa sawa usiponielewa potezea!
 
Ndg zangu naombeni munisaidie kuhusu hii KATIBA yetu inayopendekezwa ina SURA ngapi na IBALA ngapi ?
baada ya hapo ninaomba mnifafanulie kuhusu sura inayohusu Haki na Wajibu wa raia inakuaje.
naomba kuwasilisha kwenu.

Kijana ukijaribu kusoma maoni ya wachangiaji nadhani hutapata tabu kuielewa......suala la haki ma wajibu wa raia lipo vyma kabisa.....na kama raia ukitumia haki kama jinsi zilivyoorodheshwa kama raia wa Tanzania hakika tutaliweka taifa letu katika mikono salama dhidi ya majenda heka wanaopanga kuharibu na kutugawa kama taifa
 
Nakushauri upate muda wa kuisoma,hapa JF utapata msaada lakini ni vema ukajipatia copy yako mwenyewe uisome uielewe ili uwe na maamuzi yako mwenyewe wakati wa kupiga kura.Kwa ujumla Katiba ina sura 19 na Ibara zote ziko 296 hii inatokana na jinsi nilivyoisoma,Sura ya 5 inaeleza Haki za Binadamu ,Wajibu wa Raia,Jamii na Mamlaka ya Nchi ndiyo imesheheni masuala unayoyataka hopo zaidi Members watachangia mie yangu ni hayo kama utanielewa sawa usiponielewa potezea!

Sawa sawa mkuu nimekusoma hapo
 
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kuhusu hii KATIBA yetu inayopendekezwa ina SURA ngapi na IBARA ngapi?
Baada ya hapo ninaomba mnifafanulie kuhusu sura inayohusu Haki na Wajibu wa raia inakuaje.

Naomba kuwasilisha kwenu

Maswali mengine naona yako kichkozi chokozi humu ndani, maana naamini majibu yake unayo lkn tu unauliza watu kusudi kupima akili zao, suala hili limekuwa likiimbwa kila siku ndugu nakushangaa unaporudiarudia humu ndani, anyway naamini majibu ulopewa hapo mwanzo na wachangiaji yanakufaa.
 
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kuhusu hii KATIBA yetu inayopendekezwa ina SURA ngapi na IBARA ngapi?
Baada ya hapo ninaomba mnifafanulie kuhusu sura inayohusu Haki na Wajibu wa raia inakuaje.

Naomba kuwasilisha kwenu
Vipi Butoto umeisoma Katiba Inayopendekezwa na kuelewa maudhui yake. Kama utakuwa na swali la uelewa unakaribishwa kwenye forum tutakujibu. Asubuhi njema
 
Back
Top Bottom