hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 116
Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo.
Bei zinakuwaje?
Gunia shiling ngapi?
Nahitaji ya kulima yapoje?
Bei zinakuwaje?
Gunia shiling ngapi?
Nahitaji ya kulima yapoje?