hamza mahundu Member Joined Dec 20, 2018 Posts 58 Reaction score 116 Oct 4, 2023 #1 Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo. Bei zinakuwaje? Gunia shiling ngapi? Nahitaji ya kulima yapoje?
Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo. Bei zinakuwaje? Gunia shiling ngapi? Nahitaji ya kulima yapoje?
AKILI TATU JF-Expert Member Joined Feb 10, 2016 Posts 2,659 Reaction score 2,827 Oct 4, 2023 #2 Wekeza milioni 1 utapata faida milioni 2.5
hamza mahundu Member Joined Dec 20, 2018 Posts 58 Reaction score 116 Oct 6, 2023 Thread starter #3 AKILI TATU said: Wekeza milioni 1 utapata faida milioni 2.5 Click to expand... Kivp
AKILI TATU JF-Expert Member Joined Feb 10, 2016 Posts 2,659 Reaction score 2,827 Oct 6, 2023 #4 hamza mahundu said: Kivp Click to expand... Kukodi shamba , kulima, kuvuna , kusafirisha sokoni.
BAKOI JF-Expert Member Joined Jan 31, 2016 Posts 1,211 Reaction score 2,329 Nov 24, 2023 #5 hamza mahundu said: Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo. Bei zinakuwaje? Gunia shiling ngapi? Nahitaji ya kulima yapoje? Click to expand... Unataka kulimia wapi?
hamza mahundu said: Mfano; unalima VIAZI VITAMU sasa hivi target ni mauzo muda wa ramadhani na ndiyo mda wa kuvuna huo. Bei zinakuwaje? Gunia shiling ngapi? Nahitaji ya kulima yapoje? Click to expand... Unataka kulimia wapi?