Naomba kufahamishwa kuhusu Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma

Naomba kufahamishwa kuhusu Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma

jangala22

Senior Member
Joined
May 20, 2021
Posts
165
Reaction score
141
Habari za majukumu ndugu wanajamvi,

Naomba kufahamu mwanachama wa mfuko wa pensheni kwa Watumishi wa Umma anaweza kupata mkopo kupitia mfuko huo akitimiza miaka 10 kazini au mpaka atimize miaka mingapi Ili awe na sifa za kupata mkopo kupitia mfuko huo wa pensheni
 
Wapigie kupitia namba zao za huduma kwa wateja, wanapatikana katika siku za kazi na watakujibu swali lako!
 
Back
Top Bottom