P Peribus Senior Member Joined Nov 28, 2021 Posts 101 Reaction score 177 Sep 27, 2024 #1 Wasaalam ndugu na jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, biashara ipi inatoa zaidi kwa mtaji kuanzia 1m? Na je ni maeneo yapi yanafaa?
Wasaalam ndugu na jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, biashara ipi inatoa zaidi kwa mtaji kuanzia 1m? Na je ni maeneo yapi yanafaa?
Mshangazi JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,143 Reaction score 4,462 Sep 27, 2024 #2 UNA MTAJI? Kama unao nitumie mimi kisha nitakupa wazo la biashara tukiwa Tulivu Pub na maji ya dhahabu ya kutosha
UNA MTAJI? Kama unao nitumie mimi kisha nitakupa wazo la biashara tukiwa Tulivu Pub na maji ya dhahabu ya kutosha
C Camp 05 JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 3,016 Reaction score 2,883 Sep 28, 2024 #3 Mshangazi said: UNA MTAJI? Kama unao nitumie mimi kisha nitakupa wazo la biashara tukiwa Tulivu Pub na maji ya dhahabu ya kutosha Click to expand... One man down
Mshangazi said: UNA MTAJI? Kama unao nitumie mimi kisha nitakupa wazo la biashara tukiwa Tulivu Pub na maji ya dhahabu ya kutosha Click to expand... One man down
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Sep 28, 2024 #4 Peribus said: Wasalam ndg/jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, ipi biashara inatoa zaidi kwa mtaji kuanzia 1m? Na je ni maeneo yapi yanafaa? Click to expand... πππ mkuu fanya research maeneo unayokaa, naa maeneo jirani huduma gani hakuna unaweza anza pata pa kuanzia.....
Peribus said: Wasalam ndg/jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, ipi biashara inatoa zaidi kwa mtaji kuanzia 1m? Na je ni maeneo yapi yanafaa? Click to expand... πππ mkuu fanya research maeneo unayokaa, naa maeneo jirani huduma gani hakuna unaweza anza pata pa kuanzia.....