Naomba kufahamishwa kuhusu PI Network

Naomba kufahamishwa kuhusu PI Network

fesee

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2016
Posts
851
Reaction score
838
Wakuu habari za Kazi,

Hii kitu inaitwa Pi network kwa wanaoifahamu au kuifuatilia mnaionaje ni kweli itakuja kuipikua Bitcoin au ni Mbwebwe tu maana naifuatilia project yake iko Serious Sana.

Kwa anayeifahamu zaidi atupe Mawazo yake kwa asiyeijua ni Coin inayopatikana kwa Mining kupitia app unayodownload kwa Simu yako ya Smart na kujisajili alfu utakuwa unapata kias kidogo sana kwa sa 24 inamaliza mzunguko
 
Nini kimewakuta huko?
Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaah
 
Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaah
Poleni sana. Ndio harakati hizo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250304-205747.png
    Screenshot_20250304-205747.png
    154.9 KB · Views: 3
Katika elimu za crypto bado watu wafanywa LBL japo wenye crypto kuna coin ni ponzi kwa mda kulamba watu.

Tumia crypto stable coin sio hizi unaambiwa kuwa zitapanda
 
Duu,mbona unaongea uongo mzee??
Ambao ziko migrated si wanaamisha tu kwenda kwenye exchange n kuzitrade.

Mbona simple
Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaah
 
Pole kama hukumine kipindi unauliza.

Hiyo pi ilikuwa listed kwa dollar mbili hapo juzi, people made alot of moneys,yani alot.

Na ambao hawakuuza au ziko locked,na bado inapanda...bado watu watapiga hela.

Pi is not scam mkuu
 
Pole kama hukumine kipindi unauliza.

Hiyo pi ilikuwa listed kwa dollar mbili hapo juzi, people made alot of moneys,yani alot.

Na ambao hawakuuza au ziko locked,na bado inapanda...bado watu watapiga hela.

Pi is not scam mkuu
Ahsante kwa kunielimisha kwa kunipa taarifa sahihi
 
Back
Top Bottom