Ikiwa hivi hapa hapa bongo kutakuwa na ma trillionaire wa kutoshaMwaka huu inaingia sokoni rasmi usipuuze..
1pi = 314,159$
Hizi ni ndoto za mchana.Mwaka huu inaingia sokoni rasmi usipuuze..
1pi = 314,159$
Hii ndio ile ukiitwa kwenye fursa?
Pi coin ni utapeli wa mchana kweupeeeHii ndio ile ukiitwa kwenye fursa?
Huu ni utapeli aisee,daah ninyi mulikua na akili toka kitamboHii ndio ile ukiitwa kwenye fursa?
Nini kimewakuta huko?Huu ni utapeli aisee,daah ninyi mulikua na akili toka kitambo
Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaahNini kimewakuta huko?
Poleni sana. Ndio harakati hizo.Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaah
Ndio hivo Pi ni utapeli mkuuPoleni sana. Ndio harakati hizo.
Wanazurumu kuingia kwenye akaunti za watumiaji na kusepa na mawe..........na sio kua ukiingia exchange unaweza uza Pi zako zilizokua unlock kama gate.io,ambpo ulizimine Bure kabisa aisee daaah
Ahsante kwa kunielimisha kwa kunipa taarifa sahihiPole kama hukumine kipindi unauliza.
Hiyo pi ilikuwa listed kwa dollar mbili hapo juzi, people made alot of moneys,yani alot.
Na ambao hawakuuza au ziko locked,na bado inapanda...bado watu watapiga hela.
Pi is not scam mkuu