Naomba kufahamishwa kuhusu Sound engeenering

Naomba kufahamishwa kuhusu Sound engeenering

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
893
Reaction score
1,739
Hii inajihusisha na nini? (shughuli zinazohusiana na sound eng)
 
kwa uelewa wangu mchache,unaweza soma sound kama art subject ili uwe mtaalamu na mbunifu wa sound na unaweza soma sound kama somo la ki-science ile uje kuwa mwanasayansi aliyebobea ktk sound.

nasikia ukisoma sound kama science ni balaa, hesabu zake ni physics tupu,kama hukupata msingi mzuri wa somo la hesabu,hata usijaribu.ila uamuzi ni wako.

maswali ya msingi.je hapa tz tuna vyuo vyenye facility za kutosha kumuandaa mwanafunzi kuwa pro sound engineer/scientist?.

fursa zake za ajira zipoje?.ndio hizi za kurokodi miziki ya bongo fleva?.sidhani,ni zaidi ya hapo.je zipo hapa bongo?.tutafakari.
 
Shughuli zake ni pamoja na kufanya kazi kwenye studio za TV na radio station.

Hapa bongo sijui ka vyuo vipo ila South Africa ndo penyewe.
 
Back
Top Bottom