Naomba kufahamishwa kuhusu tofali za blocks zitokanazo na Miamba ya Mawe

Naomba kufahamishwa kuhusu tofali za blocks zitokanazo na Miamba ya Mawe

Baraker_88

Member
Joined
Nov 7, 2021
Posts
35
Reaction score
88
Habari Wana ujenzi! Natumaini mko salama.

Nimekuwa nikipita katika baadhi ya mikoa kadhaa ambayo Ina Miamba mikubwa ya Mawe mfano Mwanza, singida, Dodoma etc na kushudia wakiitumia Miamba hio kuzalisha mchanga, kokoto, mawe ya kujengea msingi, etc.

Je, hakuna Sehem ambazo hutumia Miamba hii ya Mawe kwaajil ya kutengeneza blocks kwaajil ya ujenzi?

Je, vipi kuhusu swala la kiusalama /uzito endapo ukazizalisha na kuzitumia blocks hizo kwenye ujenzi?
 
Habari Wana ujenzi! Natumaini mko salama.

Nimekuwa nikipita katika baadhi ya mikoa kadhaa ambayo Ina Miamba mikubwa ya Mawe mfano Mwanza, singida, Dodoma etc na kushudia wakiitumia Miamba hio kuzalisha mchanga, kokoto, mawe ya kujengea msingi, etc.

Je, hakuna Sehem ambazo hutumia Miamba hii ya Mawe kwaajil ya kutengeneza blocks kwaajil ya ujenzi?

Je, vipi kuhusu swala la kiusalama /uzito endapo ukazizalisha na kuzitumia blocks hizo kwenye ujenzi?
Unaishi mkoa gani,kama unaishi arusha nicheki
 
Habari Wana ujenzi! Natumaini mko salama.

Nimekuwa nikipita katika baadhi ya mikoa kadhaa ambayo Ina Miamba mikubwa ya Mawe mfano Mwanza, singida, Dodoma etc na kushudia wakiitumia Miamba hio kuzalisha mchanga, kokoto, mawe ya kujengea msingi, etc.

Je, hakuna Sehem ambazo hutumia Miamba hii ya Mawe kwaajil ya kutengeneza blocks kwaajil ya ujenzi?

Je, vipi kuhusu swala la kiusalama /uzito endapo ukazizalisha na kuzitumia blocks hizo kwenye ujenzi?
Kuta za mawe unaweza kujenga nyumba imara sana, na wazee wetu wa zamani wala hawakutumia simenti, bali udongo wa mfinyanzi.
Mawe ya kujengea sharti yawe ya ukubwa wa katibu futi moja (au 30cm).#Ukuta mara zote huenda si chini ya upana wa 40cm.
Nyumba huwa imara sana na kama ukianzia chini ni mawe tupu basi hata ghorofa unaweza pandisha kirahisi.
1651323301248.png


Nyumba zote za wakoloni walijenga kutumia mawe.
 
Back
Top Bottom