Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,234
- 2,535
Hello wakulungwa
Naombeni abcde..z kuhusu kuku wa mayai aina ya layers
Nataka kufuga kuku 1000 layers
Kampuni Interchic.
Hadi waanze kutaga maximum nitakua nimetumia kiasi gani kwenye chakula n madawa (starter grower finisher nk)
Changamoto zake nk
Nb: nafuga wa nyama nina uzoefu na hao
Naombeni abcde..z kuhusu kuku wa mayai aina ya layers
Nataka kufuga kuku 1000 layers
Kampuni Interchic.
Hadi waanze kutaga maximum nitakua nimetumia kiasi gani kwenye chakula n madawa (starter grower finisher nk)
Changamoto zake nk
Nb: nafuga wa nyama nina uzoefu na hao