Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Tangu zaman tumekuwa tukitumia vocha....na vocha ni codes. tangu nimiliki sim. ni miaka 10+now.... na ninejarbu kubashir lkn
nimekosa.....
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwan haziishi .....
3. n kwel kam zinasafirishwa kwa umbal mrefuzina kuwa locked? I mean kama zimeibwa
zisiweze kutunika...?
4. je ikitokea codes kuisha....nn hufanyik
nimekosa.....
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwan haziishi .....
3. n kwel kam zinasafirishwa kwa umbal mrefuzina kuwa locked? I mean kama zimeibwa
zisiweze kutunika...?
4. je ikitokea codes kuisha....nn hufanyik