Tangu zaman tumekuwa tukitumia vocha....na vocha ni codes. tangu nimiliki sim. ni miaka 10+now.... na ninejarbu kubashir lkn
nimekosa.....
1.je ni njia gan inatumika ku create hizi codes?
2. kwan haziishi .....
3. n kwel kam zinasafirishwa kwa umbal mrefuzina kuwa locked? I mean kama zimeibwa
zisiweze kutunika...?
4. je ikitokea codes kuisha....nn hufanyik
maisha magumu jamani kah ivi unaka ubashiri zile namba 14 kweli kisa mia5 tu au buku jamani kaah...
Mkuu vocha zinatoka kwa batch unaweza ukaiba vocha zinazosafirishwa lakini hautaweza kuzitumia mpaka ziwe activated based on batch #
maisha magumu jamani kah ivi unaka ubashiri zile namba 14 kweli kisa mia5 tu au buku jamani kaah...