mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,766
Waungwana salaam!
Napenda kufahamu kwa undani kuhusu unenepeshaji wa ng'ombe.
1. Mchanganyiko wa chakula
2. Kiasi anachokula ng'ombe kwa siku
3. Nyasi ale kiasi gani au asile kabisa?
4. Ili asizidishe gharama za uendeshaji auzwe muda gani tangu kuanza kunenepeshwa?
Napenda kufahamu kwa undani kuhusu unenepeshaji wa ng'ombe.
1. Mchanganyiko wa chakula
2. Kiasi anachokula ng'ombe kwa siku
3. Nyasi ale kiasi gani au asile kabisa?
4. Ili asizidishe gharama za uendeshaji auzwe muda gani tangu kuanza kunenepeshwa?