Naomba kufahamishwa maana ya maneno haya kwa lugha ya Kiswahili.

Naomba kufahamishwa maana ya maneno haya kwa lugha ya Kiswahili.

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
1. Certificate
2. Diploma
3. Degree
4. Post graduate
5. Masters
6. Phd

Asante!
 
1.Cheti
2.Stashahada
3.Shahada
4.Astashahada
5.Shahada ya uzamili
6.Shahada ya uzamivu
 
1Cheti, 2astashahada, 3shahada, 4&5uzamili, 6uzamivu
 
Back
Top Bottom