Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
Wakuu habari za mihangaiko..
Nilikuwa naomba, kujuzwa vitu vifuatavyo kuhusu chuo cha wanyapori , Pasiansi wildlife, kilichopo Mwanza.
1. Sifa za kujiunga na hicho chuo
2. Kozi zitolewazo
3. Kozi ni za muda gani
4. Gharama (ada)
5. Na baada ya kuhitimu, upatikanaji wa ajira upoje
NB: Nimejaribu kutembelea kwenye website, there something went wrong.
Nilikuwa naomba, kujuzwa vitu vifuatavyo kuhusu chuo cha wanyapori , Pasiansi wildlife, kilichopo Mwanza.
1. Sifa za kujiunga na hicho chuo
2. Kozi zitolewazo
3. Kozi ni za muda gani
4. Gharama (ada)
5. Na baada ya kuhitimu, upatikanaji wa ajira upoje
NB: Nimejaribu kutembelea kwenye website, there something went wrong.