Roger Ramer
Member
- Feb 4, 2017
- 34
- 15
Naombeni mnitajie masomo wanayosoma wanafunzi wa mechanical engineering diploma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh humu wengi waalimNaombeni mnitajie masomo wanayosoma wanafunzi wa mechanical engineering diploma.
Plus other non core subjects like,Measurement and control,
Machine elèment,
Ac&refrigeration,
Automotive,
Eng drawing,
Eng mathematics,
Mechanics,
Workshop technology,
Foundry,
Maintenance& industrial mgt
Safi naona mmekuja watabe wa MECHMeasurement and control,
Machine elèment,
Ac&refrigeration,
Automotive,
Eng drawing,
Eng mathematics,
Mechanics,
Workshop technology,
Foundry,
Maintenance& industrial mgt
DITWorkshop technology
Thermodynamic
Fluid
Pneumatic system
Automobile layout
Electrical mashine
Machine element and design
Measurement and digital system
Combustion engine
Umechaguliwa WAP wewe
Mkuu, wakat unafikiria kuwa unaandika kwa herufi ndogo, ebu hilo neno "pekee" liondoe... maana kijana atajua umekuja kumfariji tuu na sio kumpa ukweli.MECHANICAL NDO ENGINEERING PEKEE ILOBAKI NA UWANJA MPANA WA KUAJIRIWA KWA SASA NA HATA UKIJKWEZA KI MATERIAL WAEZA JIAJIRI NA UKAINGIZA MPUNGA WA AJABU
Hakuna ubishi Mechanical ipo very wided in Many Applications kuliko kozi nyingnezo. Hakuna Engineer YEYOTE anaweza fanya mambo pasina kuwa na Mechanical Engineer. Kama huijui vizur Mechanical unaweza kurupuka na ukabisha, jamaa wapo ktk ujenz umeme, mitaani ndo kibao.Mkuu, wakat unafikiria kuwa unaandika kwa herufi ndogo, ebu hilo neno "pekee" liondoe... maana kijana atajua umekuja kumfariji tuu na sio kumpa ukweli.
Kabla sijaanza kukutibu, naomba unihakikishie hili... we kwa uelewa wako.. unaamin hakuna kozi ya engineering yoyote yenye fursa nying kuzidi mechanical?Hakuna ubishi Mechanical ipo very wided in Many Applications kuliko kozi nyingnezo. Hakuna Engineer YEYOTE anaweza fanya mambo pasina kuwa na Mechanical Engineer. Kama huijui vizur Mechanical unaweza kurupuka na ukabisha, jamaa wapo ktk ujenz umeme, mitaani ndo kibao.
civil tu ndo inatoa competition lakin bado mech ipo juuKabla sijaanza kukutibu, naomba unihakikishie hili... we kwa uelewa wako.. unaamin hakuna kozi ya engineering yoyote yenye fursa nying kuzidi mechanical?
Sasa ndo kidooogo unaongea km mtu mwenye uelewaa, labda nianzie hapa....civil tu ndo inatoa competition lakin bado mech ipo juu
Haya bana ni kitu kizur sanaaaKabla sijaanza kukutibu, naomba unihakikishie hili... we kwa uelewa wako.. unaamin hakuna kozi ya engineering yoyote yenye fursa nying kuzidi mechanical?