Naomba kufahamishwa ni benk/taasisi au ni mtu gani anaweza kunikopesha 6 miliion ndan ya siku 3

Naomba kufahamishwa ni benk/taasisi au ni mtu gani anaweza kunikopesha 6 miliion ndan ya siku 3

mabesela

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
1,294
Reaction score
680
Mmeamkaje ndg zangu wanajamvi, mi ni mkazi wa mjini Mtwara kuna kazi nimepata ya kusupply chakula mahali fulani na mtaji wangu nilionao nao ni sh.milioni 2 wakati unaohitajika ni 8 milioni hivyo kuna upungufu wa 6 milion. Sasa, naomba kufahamishwa nani anaweza kunipa mkopo wa haraka sana ndani ya siku 3 dhamana yangu ni hati ya nyumba (nyumba inathamani ya tsh.40)na ninaweza kuurudisha ndani ya miezi 3 tu. Au benki/ taasis gani inatoa mkopo wa fedha kwa dhamana ya nyumba ndani ya muda mfupi kama ninaouhitaji? Nawasilisha tafadhali.
 
Back
Top Bottom