kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 340
samahani wakuu naomba kufahamu ni benki gani naweza kufungua akanti na nikapata kadi kwa maana ninapotaka kufungulia akaunt ni mkoa tofauti na ninapoishi nahofia kuiacha alafu badge nikazazimika kuingia gharama kuifata tena
Equity, BancABC, Barclayssamahani wakuu naomba kufahamu ni benki gani naweza kufungua akanti na nikapata kadi kwa maana ninapotaka kufungulia akaunt ni mkoa tofauti na ninapoishi nahofia kuiacha alafu badge nikazazimika kuingia gharama kuifata tena
Ahsante
Ahsante
Ahsante
Chap Chap limit ni 5M ukisha fikia limit itabid uende na barua tena na kitambulisho kwa ajili ya kuongeza uwezo kitu ambacho ni usumbufu
Nenda Equity Yes Equity hawana longolongo un fungua acc kadi una ipata siku hyo hyo huduma za internet banking + uwezo wa kutumia kadi yako ya visa kufanya miamala online yote hayo yana fanyika siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na DTB wapoje?Chap Chap limit ni 5M ukisha fikia limit itabid uende na barua tena na kitambulisho kwa ajili ya kuongeza uwezo kitu ambacho ni usumbufu
Nenda Equity Yes Equity hawana longolongo un fungua acc kadi una ipata siku hyo hyo huduma za internet banking + uwezo wa kutumia kadi yako ya visa kufanya miamala online yote hayo yana fanyika siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Equity unaisubiria papo hapo na kama ni shabiki wa mnyama chukua simba cardsamahani wakuu naomba kufahamu ni benki gani naweza kufungua akanti na nikapata kadi kwa maana ninapotaka kufungulia akaunt ni mkoa tofauti na ninapoishi nahofia kuiacha alafu badge nikazazimika kuingia gharama kuifata tena
Bank hawana photocopy machine? Kufanya mambo kwa umakini, copy inatakiwa idurufiwe na benki husika ili kuondoa loophole zozote za forgery.Crdb wanatoa tembo visa card siku hiyo, cha msingi uwe na kitambulisho cha nida halafu unatakiwa ukifanyie fotokopi nyuma na mbele, otherwise kama hauna cha nida basi waweza tumia cha mpiga kura lakini ni lazima uambatanishe na barua ya mtendaji.
Kumbuka Equity daily limit purchases ni 270k tu! Hivyo kama anataka Card kwa ajili ya malipo ya mtandaoni anatakiwa ajaze form tena iwe upgraded kuondoa limits.. Namshauri akachukue Banc ABC au Exim..Chap Chap limit ni 5M ukisha fikia limit itabid uende na barua tena na kitambulisho kwa ajili ya kuongeza uwezo kitu ambacho ni usumbufu
Nenda Equity Yes Equity hawana longolongo un fungua acc kadi una ipata siku hyo hyo huduma za internet banking + uwezo wa kutumia kadi yako ya visa kufanya miamala online yote hayo yana fanyika siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app