mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Wakuu, poleni na majukumu ya kutafuta Maisha.
Mimi ni kidume, pia staki kabisa kuishi maisha ya kihuni yasiyo na baraka kutoka pande zote mbili, maisha ya kuishi na bibie wangu pasipo kufuata utaratibu maalumu.
Kama thread inavyosomeka hapo, nahitaji kujua na kujiridhisha kwa kina juu ya utaratibu wa kufika ukweni kutambulika na kupeleka kishika uchumba. Binafsi nakiri Nina ugeni kidogo juu ya Jambo hili, pia bi mdogo nae ana ugeni, nlimwambia amdodose Mama mkwe but bado hajanipa mrejesho.
Naombeni mawazo yenu, na uzoefu wenu wadau.
Mimi ni kidume, pia staki kabisa kuishi maisha ya kihuni yasiyo na baraka kutoka pande zote mbili, maisha ya kuishi na bibie wangu pasipo kufuata utaratibu maalumu.
Kama thread inavyosomeka hapo, nahitaji kujua na kujiridhisha kwa kina juu ya utaratibu wa kufika ukweni kutambulika na kupeleka kishika uchumba. Binafsi nakiri Nina ugeni kidogo juu ya Jambo hili, pia bi mdogo nae ana ugeni, nlimwambia amdodose Mama mkwe but bado hajanipa mrejesho.
Naombeni mawazo yenu, na uzoefu wenu wadau.