Naomba kufahamishwa topic muhimu za A-level

xidmbwalacy

New Member
Joined
Feb 1, 2015
Posts
3
Reaction score
0
Habari za humu ndani,

Naomba msaada kwa mwenye Topic muhimu za A-level mimi ni mwalimu, ninasoma kwa muda wa mwaka 1 kuanzia sasa hadi mwakani inshaallah nachukua HKL.
 
Wewe kwa hstory 1 nunua major events ya Fr. Jovitus syo ya nyambari maana na yeye anayo amecopy ya jovitus, hstry 2 hapa nunua major events hstry 2 ya nyambari, kuhusu englsh 1 nunua cha kadege na cha nyambari, engl 2 nunua cha nyambari klchochambuliwa zen untafute npo hapa dsm.
 
Tafuta nikolas asheli English1 New syllabus,kiswahili1 nyambari nyangwine kimeandikwa nadharia ya lugha na uchambuzi wa kiswahili cha vitabu teule vya fasihi na major events history1 na history2 ya nyambari nyangwine. Unipe update coz naweza kukusaidia hkl ndo niliyosoma na sasa nimeshahitimu chuo kikuu education
 
hbr za hm ndn naomba msaada kwa mwny importance topics A level mm mwl na ninasoma kwa muda wa mwk 1 kuanzia sasa hd mwkn inshaallah nachukua hkl


Duh nawewe ni mwalimu? kazi ipo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…