Matukutuku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 269
- 126
Wakuu kwema humu?
Naomba kujua ili chombo chako cha abiria kiweze kuwa barabarani ni vibali gani unatakuwa kuwa navyo na kutoka mamlaka ipi (TRA labda au Manispaa hivii)
Naomba kujua.
Naomba kujua ili chombo chako cha abiria kiweze kuwa barabarani ni vibali gani unatakuwa kuwa navyo na kutoka mamlaka ipi (TRA labda au Manispaa hivii)
Naomba kujua.