GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Habarini wadau.
Naomba kufahamu utaratibu wa matibabu ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Kuna mtu aliniambia kwamba watoto wenye umri huo wanatibiwa bure kabisa hulipi chochote,je? Kuna ukweli wowote?
Kama kuna Mtu yeyote anisaidie utaratibu wa kupata matibabu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Sina mengi zaidi waslamu.
Naomba kufahamu utaratibu wa matibabu ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Kuna mtu aliniambia kwamba watoto wenye umri huo wanatibiwa bure kabisa hulipi chochote,je? Kuna ukweli wowote?
Kama kuna Mtu yeyote anisaidie utaratibu wa kupata matibabu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Sina mengi zaidi waslamu.