Naomba kufahamishwa vigezo vya kununua nyumba Dar es Salaam

Naomba kufahamishwa vigezo vya kununua nyumba Dar es Salaam

jacquejaytee

Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
46
Reaction score
27
Habari za Jumatatu wadau. Kichwa cha habari chahusika.

Ningependa kununua nyumba DSM maeneo ya Kigamboni, naomba ufafanuzi wa mambo muhimu ya kuzingatia kabla na wakati wa kununua nyumba ya kuishi.

Nawasilisha.
 
Habari za Jumatatu wadau.Kichwa cha habari cha husika.

Ningependa kununua nyumba dsm maeneo ya kigamboni,naomba ufafanuzi wa mambo muhumi ya kuzingati kabla na wakati wa kununua nyumba ya kuishi.

Nawasilisha.
Unataka kununua nyumba ya bei gani? Kununua nyumba ni risk sana bora ujitahid ujenge tu
 
Back
Top Bottom