S Sharo b New Member Joined Dec 16, 2021 Posts 1 Reaction score 1 May 28, 2022 #1 Naomba kufahamu ubora wa hiyo gari tajwa hapo juu katika mambo ya ulaji wa mafuta pamoja na stability barabarani na ipi engine
Naomba kufahamu ubora wa hiyo gari tajwa hapo juu katika mambo ya ulaji wa mafuta pamoja na stability barabarani na ipi engine
PureView zeiss JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 10,786 Reaction score 35,916 May 28, 2022 #2 Ni gari nzuri Tu haina shida yeyote ya kusumbua hata ulaji wake WA mafuta ni kawaida Tu kama unanunua lipia hela tu
Ni gari nzuri Tu haina shida yeyote ya kusumbua hata ulaji wake WA mafuta ni kawaida Tu kama unanunua lipia hela tu
KndNo1 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2021 Posts 627 Reaction score 2,049 May 28, 2022 #3 Ni Toyota.. Reliable..! Engine ukipata 2ZZ utaenjoy.. Engine moja inapenda kurev sana.. Redline 8000rpms.. Your browser is not able to play this audio. Engine mlio wa sports car.. Nguvu ya kutosha..!
Ni Toyota.. Reliable..! Engine ukipata 2ZZ utaenjoy.. Engine moja inapenda kurev sana.. Redline 8000rpms.. Your browser is not able to play this audio. Engine mlio wa sports car.. Nguvu ya kutosha..!
Congressman JF-Expert Member Joined Jun 2, 2020 Posts 781 Reaction score 2,305 May 28, 2022 #4 Mpya bei gani wakuu?
JituMirabaMinne JF-Expert Member Joined May 4, 2020 Posts 3,381 Reaction score 9,744 May 28, 2022 #5 KndNo1 said: Ni Toyota.. Reliable..! Engine ukipata 2ZZ utaenjoy.. Engine moja inapenda kurev sana.. Redline 8000rpms.. View attachment 2242381 Engine mlio wa sports car.. Nguvu ya kutosha..! Click to expand... Kitu Cha 2ZZ-GE hicho
KndNo1 said: Ni Toyota.. Reliable..! Engine ukipata 2ZZ utaenjoy.. Engine moja inapenda kurev sana.. Redline 8000rpms.. View attachment 2242381 Engine mlio wa sports car.. Nguvu ya kutosha..! Click to expand... Kitu Cha 2ZZ-GE hicho
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 28, 2022 #6 Ngoja waje kukupa muongozo...