Naomba kufahamishwa

JASAM

New Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Jamani nifahamisheni kuhusu interview ya it technician bot tarehe 24/06/ 2010. Kama wametoa majibu ya ile interview.
Naomba mnisaidie kuja hilo waugwana
 
Du kitambo sana mbona?kwa kawaida Bot huwa wanaita kazini wiki 1 au 2 mara baada ya interview ya 2.Na pia huwa wanatabia ya kutangaza upya kazi kama hao waliowafanyia usahili hawajafikia vigezo vyao. Kwa maana hii hizo nafasi zitakua zimeshajazwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…