Rangooo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2022 Posts 243 Reaction score 408 Aug 17, 2023 #1 Habari wakuu, Kwa yeyeto anayefahamu kuhusu airpods naomba ajisaidie kujua kuhusu bei zake, asanteni.View attachment 2719753View attachment 2719751View attachment 2719754View attachment 2719752
Habari wakuu, Kwa yeyeto anayefahamu kuhusu airpods naomba ajisaidie kujua kuhusu bei zake, asanteni.View attachment 2719753View attachment 2719751View attachment 2719754View attachment 2719752
bongo dili JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 12,350 Reaction score 25,180 Aug 17, 2023 #2 Google
Rangooo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2022 Posts 243 Reaction score 408 Aug 17, 2023 Thread starter #3 bongo dili said: Google Click to expand... Nmegoogle lakn pia nahitaji kujua na ujuzi kutoka kwa watu mkuu
bongo dili said: Google Click to expand... Nmegoogle lakn pia nahitaji kujua na ujuzi kutoka kwa watu mkuu
asanteni babu Member Joined Mar 12, 2023 Posts 46 Reaction score 174 Aug 17, 2023 #4 Hizi huwa zina quality zipo mpaka za buku 5 wewe nenda na kiasi chako dukani utapata kulingana na kiasi chako
Hizi huwa zina quality zipo mpaka za buku 5 wewe nenda na kiasi chako dukani utapata kulingana na kiasi chako
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Aug 17, 2023 #5 Izo Original za Apple au mchina wa Manzese? Kama Original Pro 1 unaweza pata kwa laki 3-4 na Pro 2 andaa Laki 5-6. Kama mchina izo elfu 10, zipo hadi za 50 maana zinatofautiana ubora.
Izo Original za Apple au mchina wa Manzese? Kama Original Pro 1 unaweza pata kwa laki 3-4 na Pro 2 andaa Laki 5-6. Kama mchina izo elfu 10, zipo hadi za 50 maana zinatofautiana ubora.
Rangooo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2022 Posts 243 Reaction score 408 Aug 17, 2023 Thread starter #6 Mad Max said: Izo Original za Apple au mchina wa Manzese? Kama Original Pro 1 unaweza pata kwa laki 3-4 na Pro 2 andaa Laki 5-6. Kama mchina izo elfu 10, zipo hadi za 50 maana zinatofautiana ubora. Click to expand... Samahn mkuu unajuaje kama ni original ya apple
Mad Max said: Izo Original za Apple au mchina wa Manzese? Kama Original Pro 1 unaweza pata kwa laki 3-4 na Pro 2 andaa Laki 5-6. Kama mchina izo elfu 10, zipo hadi za 50 maana zinatofautiana ubora. Click to expand... Samahn mkuu unajuaje kama ni original ya apple
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Aug 17, 2023 #7 Rangooo said: Samahn mkuu unajuaje kama ni original ya apple Click to expand... 1. Unapo nunua. 2. Ukiunganisha na simu (iPhone). 3. Taste ya mziki. 4. Original ile ANC ni next level.
Rangooo said: Samahn mkuu unajuaje kama ni original ya apple Click to expand... 1. Unapo nunua. 2. Ukiunganisha na simu (iPhone). 3. Taste ya mziki. 4. Original ile ANC ni next level.
Rangooo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2022 Posts 243 Reaction score 408 Aug 17, 2023 Thread starter #8 Mad Max said: 1. Unapo nunua. 2. Ukiunganisha na simu (iPhone). 3. Taste ya mziki. 4. Original ile ANC ni next level. Click to expand... Ahaa sawa mkuu shukran sana
Mad Max said: 1. Unapo nunua. 2. Ukiunganisha na simu (iPhone). 3. Taste ya mziki. 4. Original ile ANC ni next level. Click to expand... Ahaa sawa mkuu shukran sana
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Aug 17, 2023 #9 Rangooo said: Ahaa sawa mkuu shukran sana Click to expand... Unanunua wapi? Ushauri nunua tu izo za 15 - 20 mkuu.
Rangooo said: Ahaa sawa mkuu shukran sana Click to expand... Unanunua wapi? Ushauri nunua tu izo za 15 - 20 mkuu.
Rangooo JF-Expert Member Joined Feb 12, 2022 Posts 243 Reaction score 408 Aug 17, 2023 Thread starter #10 Mad Max said: Unanunua wapi? Ushauri nunua tu izo za 15 - 20 mkuu. Click to expand... Hapana mm ninazo nmeletewa zawadi na mtu sasa naona kabsa ni og hizi lkn nataka nizisukume mkuu
Mad Max said: Unanunua wapi? Ushauri nunua tu izo za 15 - 20 mkuu. Click to expand... Hapana mm ninazo nmeletewa zawadi na mtu sasa naona kabsa ni og hizi lkn nataka nizisukume mkuu
run CMD JF-Expert Member Joined May 31, 2015 Posts 3,185 Reaction score 3,909 Aug 17, 2023 #11 Original Lenovo LP40 nitakuuzia Tsh30,000 kama upo Arusha