Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja

Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja

Salimia kwanza, hebu tuamkie kaka zako then andika vizuri shida yako.
 
Uko wap?
Huku kigamboni cement ni 15k
 
Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja aina ya TWIGA, DANGOTE, TEMBO.
Pia bei ya bando la bati???
Naombeni msaada ndugu zangu 🙏🙏
Bei za hivyo vitu inategemea na mkoa ulipo
 
Back
Top Bottom