brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 247
- 135
Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja aina ya TWIGA, DANGOTE, TEMBO.
Pia bei ya bando la bati???
Naombeni msaada ndugu zangu [emoji120][emoji120]
Asante sanaTembo elfu 20
Dangote elfu 23
Twiga elfu 25
Asante sana14000
Bati eleza vizuri bati aina gani...Uko wap?
Huku kigamboni cement ni 15k
Leja leja ndio nini??Naomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja aina ya TWIGA, DANGOTE, TEMBO.
Pia bei ya bando la bati???
Naombeni msaada ndugu zangu [emoji120][emoji120]
Bei za hivyo vitu inategemea na mkoa ulipoNaomba kufahamu bei ya cement kwa bei ya leja leja aina ya TWIGA, DANGOTE, TEMBO.
Pia bei ya bando la bati???
Naombeni msaada ndugu zangu ππ