Naomba kufahamu bei ya mashine ya kupiga mpunga na mahali zinapopatikana

Naomba kufahamu bei ya mashine ya kupiga mpunga na mahali zinapopatikana

Jenchede

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
237
Reaction score
503
Habari za leo wanajukwaa.

Naomba kufahamu bei ya mashine ya kupiga mpunga na mahali zinapopatikana. Ukubwa wake na ufanyaji kazi wake.

Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama zinaitwa hivyo kwa kizungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndo zipo nyingi huku Mbarali, au ulimaanisha za kutumia mkono?
images.jpg
 
Yaan kama hii?
Ahaaa umenikumbusha mbali sana niliitengeneza mwaka 2018 kama sijakosea. Niliitengeneza kababe sana, niliiba vipimo kwny duka la kichina Dar. Vpimo vingine nilitumia macho, mikono na kila kitu kilichoniwezesha kupata vpimo mpaka mchina ananistukia nilishabeba taarifa za kutosha. Baadae sana nikaunganishwa na chama fulani cha wakulima mpunga morogoro wanayo ndio nikamalizia mzigo Iringa. Kilichonifurahisha na kunisikitisha, wkt naweka hizo puli zioperate at 90 degrees to each other, waalimu wa veta walibisha kwamba haiwezekani sbb belt itatoka tu. Kumbe nao walikua na project ndogo iliyotaka kubadili kubadili uelekeo wa mzunguko, ilivyofanikiwa yangu walifurahi sana.
 

Attachments

  • puddy threshing machine.jpg
    puddy threshing machine.jpg
    96.4 KB · Views: 85
Back
Top Bottom