Jenchede
JF-Expert Member
- Jul 22, 2014
- 237
- 503
Habari za leo wanajukwaa.
Naomba kufahamu bei ya mashine ya kupiga mpunga na mahali zinapopatikana. Ukubwa wake na ufanyaji kazi wake.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu bei ya mashine ya kupiga mpunga na mahali zinapopatikana. Ukubwa wake na ufanyaji kazi wake.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app