Joyce wohwoh
Member
- Sep 17, 2021
- 80
- 185
Last Friday nimepata uzoefu kidogo wa soko la nguo za wadada Ilala japo wanunuzi wenzangu na wauzaji walijua kabisa mimi ni mgeni pale. Nilinunua magauni matatu kwa wale wanaonadi kila gauni kwa elfu 5.
Nikaenda uza ofisini kila gauni kumi na tano. Nimepanga tena kwenda ijumaa. Naombeni muongozo ni mgeni mno kwenye hii biashara hasa pale Karume, siku gani nzuri ya kupata mzigo mzuri? Muda sahihi wa kuwepo pale?
Asanteni.
Nikaenda uza ofisini kila gauni kumi na tano. Nimepanga tena kwenda ijumaa. Naombeni muongozo ni mgeni mno kwenye hii biashara hasa pale Karume, siku gani nzuri ya kupata mzigo mzuri? Muda sahihi wa kuwepo pale?
Asanteni.