Naomba kufahamu gari aina ya ford

Naomba kufahamu gari aina ya ford

dasi besi

Senior Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
190
Reaction score
105
habari zenu wakuu, naitaji kumiliki gari kwa mara ya kwanza na nimetokea kuzipenda gari aina ya ford fiesta au focus ya mwaka 2005 kushuka chini. kwa wale wazoefu wa magari naomba kujua kuhusu uimara, ulaji wa mafuta na spea zake kwa hapa bongo.
asanteni
 
habari zenu wakuu, naitaji kumiliki gari kwa mara ya kwanza na nimetokea kuzipenda gari aina ya ford fiesta au focus ya mwaka 2005 kushuka chini. kwa wale wazoefu wa magari naomba kujua kuhusu uimara, ulaji wa mafuta na spea zake kwa hapa bongo.
asanteni

Ninachojua tatizo lipo kwenye spea tu. Ni ghar ila zinadumu. Ukinunua mara moja unaweza itumia kwa miaka2 na zaid
 
Pumbavu kweli yaani miaka yote hiyo mjini unashangaa tu endelea kushangaa
Kweli mimi ni pumbaf sana, kwasababu hata mjini sijawahi kukanyaga.
Nipo huku kijijini namtunza mamayako ambapo ukujiga unaniitaga uncle... tehteehhh
 
Kweli mimi ni pumbaf sana, kwasababu hata mjini sijawahi kukanyaga.
Nipo huku kijijini namtunza mamayako ambapo ukujiga unaniitaga uncle... tehteehhh
Hahaa! Pambana bwana mdogo upate heshima mjini hapa,utapanda daladala had lin
 
Mimi huwa ninakasirika sana kila ninapoona post zinazo husu Magari. Sababu kubwa ni wivu, na sina mkoko....
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
kila mtu JF ana gari mkuu, Hongera kwa kuwa mkweli. Be You...
 
Back
Top Bottom