Naomba kufahamu haya kwenye Computer Networking

Naomba kufahamu haya kwenye Computer Networking

zigi 01

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
317
Reaction score
170
Naomba msaada kujua hivi vitu kwa maana vinanichanganya sana wataalamu

1. Network Attached Storage (NAS)

2. Storage Area Network (SAN)
 
Sio mwamba wa Networking ila nahisi nafahamu kitu kuhusu NAS.
Chukulia una PC yako desktop ya kawaida, ili u access vitu vyake lazima uwe nayo hapo, huwezi access mafile ukiwa mbali nayo.
Hilo tatizo likaja zibwa kwa kutumia NAS, Hapa unakua na PC yako unaweka Hard disk zako za kutosha au SSD zenye mafile yako yote mfano picha, nyimbo, movie, documents etc, then unaiconnect kwa internet ya nyumbani na kuiacha ifanye kazi masaa 24.

Wewe unakua na log in details za hiyo computer yako, so hata ukiwa mbali na PC yako ila una internet access unaingia tu na kucheki movie zako au nyimbo.
 
Sio mwamba wa Networking ila nahisi nafahamu kitu kuhusu NAS.
Chukulia una PC yako desktop ya kawaida, ili u access vitu vyake lazima uwe nayo hapo, huwezi access mafile ukiwa mbali nayo.
Hilo tatizo likaja zibwa kwa kutumia NAS, Hapa unakua na PC yako unaweka Hard disk zako za kutosha au SSD zenye mafile yako yote mfano picha, nyimbo, movie, documents etc, then unaiconnect kwa internet ya nyumbani na kuiacha ifanye kazi masaa 24.

Wewe unakua na log in details za hiyo computer yako, so hata ukiwa mbali na PC yako ila una internet access unaingia tu na kucheki movie zako au nyimbo.
Okay! Umeeleza vizuri nimeielewa BADO SAN nayo nikipata maelezo kama haya itakuwa unyama sana
 
NAS inaunga server na kanzidata pamoja

mf: muomba ajira, akitembelea ajiraportal, ajiraportal ina kanzidata(database) zilizo hifadhi nafasi za kazi toka taasisi mbali mbali, taarifa za waombaji, etc

mtuma ajira toka taasisi-X , anaingia kwenye website ya taasisi yake, hiyo web ya taasisi inatuma maombi (HTTP Request kwa API) kuingia kwenye kanzidata ya ajiraportal kuangalia wangapi wame apply nafasi ya kazi, wangapi wangapi wamekidhi, etc

kanzidata inakuwa hosted locally kwenye server za ajiraportal, lakini server za taasisi-X inaweza access hizo kanzidata remotely kwa HTTP requests-TCP/IP


kwenye SAN

kanzidata ina standalone kwenye layer yake yenyewe, haiwi hosted kwenye server yoyote ile

mathalan: kanzidata ipo Dodoma, server za ajiraportal zipo Dar, server za taasisi-X zipo Kigoma
server za ajiraportal zinaunga na kanzidata kwa fiber cable
server za taasisi-X zinaunga na kanzidata kwa fiber cable
 
Back
Top Bottom