Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye title umesema waziri mkuu halafu ndani kwenye thread unasema mlinzi. Umenikoroga!Nahitaji kufahamu historia ya aliekuwa mlinzi mkuu wa mwalimu jk nyerere PETER DM BWIMBO
Wapi wanauza na je pdf inapatikana?!Nimenunua kitabu chake last week. Nenda kanunue kaka
Check Mlimani City bookshop, sijawahi kujaribu kutafuta PDF onlineWapi wanauza na je pdf inapatikana?!
Beatus...Nahitaji kufahamu historia ya aliekuwa mlinzi mkuu wa mwalimu jk nyerere PETER DM BWIMBO
Mtama...Check Mlimani City bookshop, sijawahi kujaribu kutafuta PDF online
Asante mzee... nadhani atakuwa amepata taarifa piaMtama...
Kitabu kinauzwa Tanzania Publishing House, Samora Avenue.
Enzi za Askofu Rudin. Kitambo sana.Siku hiyo alikuwa amemsindikiza Nyerere kanisani kwenye ibada ya krismasi na mimi nilikuwa mmoja wa watoto tulikuwa tunatumikia kwenye ibada hiyo nikiwa nasoma shule ya Mwembeni.