Naomba kufahamu historia ya Peter DM Bwimbo, aliyekuwa waziri mkuu enzi za Mwl Nyerere

beatus_93

New Member
Joined
Sep 15, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Nahitaji kufahamu historia ya aliekuwa mlinzi mkuu wa mwalimu jk nyerere PETER DM BWIMBO
 
Nimekuja mbio maana sikuwahi kumsikia W.mkuu mwenye jina hilo hapa TZ.kumbe mlinzi bhana..
 
Nilimwona Peter Bwimbo kwa karibu sana akiwa inspekta wa Polisi wakati mimi niko darasa la nne zamani sana nikiwa Musoma. Siku hiyo alikuwa amemsindikiza Nyerere kanisani kwenye ibada ya krismasi na mimi nilikuwa mmoja wa watoto tulikuwa tunatumikia kwenye ibada hiyo nikiwa nasoma shule ya Mwembeni. Bwimbo alionekana mtu mtanashati sana, na najua kuna mwanafunzi mwenzagu aliamua kujiunga na jeshi la polisi kutokana na inspiration ya Peter Bwimbo.
 
Siku hiyo alikuwa amemsindikiza Nyerere kanisani kwenye ibada ya krismasi na mimi nilikuwa mmoja wa watoto tulikuwa tunatumikia kwenye ibada hiyo nikiwa nasoma shule ya Mwembeni.
Enzi za Askofu Rudin. Kitambo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…