Habari wadau..?
Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu..
Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je, Kuna namna yotote ile ya kujiunga kua mwanachana online? Kama ipo naomba mwongozo tafadhali...
Tatizo nimekuta namba za kulipia ni Voda na Airtel hakuna Halotel, au sijajua?Habari wadau..?
Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu..
Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je, Kuna namna yotote ile ya kujiunga kua mwanachana online? Kama ipo naomba mwongozo tafadhali...
Ile mitambo yao ya utawala uliopita ilikuwa na magumashi sana.Habari wadau..?
Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu..
Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je, Kuna namna yotote ile ya kujiunga kua mwanachana online? Kama ipo naomba mwongozo tafadhali...
Ndio basi kama hauko hai, ww si mwanachama.Yap lakini kua mwanachana lazima ulipie kadi yaani uwe hai
Hahahha sawa nimekusomaNdio basi kama hauko hai, ww si mwanachama.
Wanachama hai ni yule anashiriki mijadala, kufatilia, na kupenda jambo flani linlohusa chama husika, hata kama hana kadi. Haizuii ww kuwa mwanachama. Ila shabiki si lazma awe mwanachama. Yeye anashabikia tu. Jezi nyeupe yupo, wamepigwa yupo, kauliwa yupo. Shabiki.
Ni uamuzi mzuri sana!Habari wadau..?
Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu..
Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je, Kuna namna yotote ile ya kujiunga kua mwanachana online? Kama ipo naomba mwongozo tafadhali...
Muweke njia rahisi na ya uwazi ili wapatikane kwa wingi. Supu inyweke ingali moto.Habari wadau..?
Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu..
Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je, Kuna namna yotote ile ya kujiunga kua mwanachana online? Kama ipo naomba mwongozo tafadhali...