Naomba kufahamu jinsi ya kuwa wakala wa makampuni ya sports Bet Arusha

fanuel nary

Senior Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
129
Reaction score
59
Mwenye ufahamu anisaidie utaratibu wa kuwa wakala wa sports betting Bila kujali ni kampuni ipi Kuna fursa nimeona hapa mtaa naona watu wengi ikifika wkend wanajazana kupiga Ramli tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mada jana nimeifuatilia nikaona mwanga mzuri,lakni nilipofungua ile blockchain kama kiongozi alivyoeleza hapo nikashindwa kujaza detail wanazoomba labda atuelekeze namna ya kujaza ni detail gani zinatakiwa hasa
 
Hii mada jana nimeifuatilia nikaona mwanga mzuri,lakni nilipofungua ile blockchain kama kiongozi alivyoeleza hapo nikashindwa kujaza detail wanazoomba labda atuelekeze namna ya kujaza ni detail gani zinatakiwa hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…