Naomba kufahamu kama kampuni ya kutengeneza na kuuza Mashine za Tofali za Interlocking ina tawi hapa Tanzania

Naomba kufahamu kama kampuni ya kutengeneza na kuuza Mashine za Tofali za Interlocking ina tawi hapa Tanzania

kumbwitu

Member
Joined
Apr 11, 2017
Posts
19
Reaction score
11
Habari za majukumu wanaharakati, naomba kufahamu kama kampuni ya kutengeneza na kuuza Mashine za Tofari za Interlocking, Yenye makazi yake south África kama wana branch hapa tanzania, kama ipo nitawapata Vp, ninahitaji kufahamu bei za Mashine zas.
 
Back
Top Bottom