naomba kufahamu kama naweza apply chuo na leaving certificate

brian black

New Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
3
Reaction score
0
nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na sikuweza pata matokeo yangu nina wenge sasa ivi sijajua la kufanya hebu nisaidieni
 
Kijana leaving certificate ni mbwembwe tu hakina matumizi yoyote yale mtaani zaidi ya kwenda kuchukulia cheti

shule.Kwa kifupi leaving haina maana hainyeshi matokeo yako wala kitu chochote kuhusiana na academic perfomance na

vyuo wanataka waone kama umefikia ufaulu wao wanaotaka kama ni D-5 au A,C nk,vitu ambavyo kwenye leaving

havimo.

Mi ninakushauri ufuatilie matokeo yako kama ulifutiwa mtihani fanya utaratibu wa kurudia pepa,lakini Leaving certificate

haina msaada wowote.
 
kuna mtu nilimwambia akanibishia so thamks bro

Una jina zuri kama la mwanangu ila ki ukweli hilo swala lako haliwezekani.
leaving certificates ni uthibitisho tu kuwa ulimazia kwenye hiyo skul haina maana kwenye kupima ufaulu kwa mwanafunzi.
 
nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na sikuweza pata matokeo yangu nina wenge sasa ivi sijajua la kufanya hebu nisaidieni


Kwa nini hukupata hayo matokeo? Huwezi kutumia leaving certificate kwa ku-apply chuoni. La msingi rekebisha hiyo sababu iliyokufanya usipate matokeo kwa sababu hata result slip huwezi kupata pia ambayo angalau ingekusaidia kufanya application.
 
Ulitaka utumie LEAVING CERTIFICATE ili ufiche Div. Zero yako? ?

Imekula kwako dogo!!
 
Hukupata matokeo au upo kwenye kundi la wale 240,000 waliozungusha?

Sema ukweli usaidiwe kijana..
 
nimetumia jina langu ila ni rafik yangu mwenye tatizo namuamini sana na sidhan kama anaweza zungusha
 
bora useme una zero kuliko kujibaraguza na hako ka leaving certificate.
 
kweli hii ndo Tanzania.msomi wa form 4 hajui matumizi ya leaving?hv huyu hata kujielezea yy mwenyewe anaweza?kweli TUMETHUBUTU,TUMESHINDWA NA TUNAZIDI KURUDI NYUMA.yani dogo unataka kuaply chuo kwa kutumia leaving kisa una zero.nenda somalia wanamgambo wa ALSHABAB wanahtaji leaving tu wanakusajili.
 
nimetumia jina langu ila ni rafik yangu mwenye tatizo namuamini sana na sidhan kama anaweza zungusha


Muulize akwambie sababu za kutopata matokeo, atakupa shida za kutafuta msaada kumbe ukijua sababu utaona hakuna hata haja ya ku-apply. Sasa na wewe hukujua kwamba Leaving Certificate haiwezi kufanya hiyo application??? Hizi shule za KATA kazi kwelikweli.
 
Dogo hiyo living cetficate yako changanya na ziro uliyopata ndo mana unaficha ni bure umebug meeen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…