ZBC2 ni matches au walisema watakuwa wanafanya uchambuzi tu kabla ya mashindano kuanza...!!??
Powervu ndio kitu gani hiyo ndugu?Hivi vyote ni hamna kitu wadau tushasema kitambo zipo alternative powervu ni mambo yote kuanzia epl,uefa,bundesliga,laliga,ueuro,movies etc pasipo malipo yoyote
HEBU FUNGUKA ZAIDIHivi vyote ni hamna kitu wadau tushasema kitambo zipo alternative powervu ni mambo yote kuanzia epl,uefa,bundesliga,laliga,ueuro,movies etc pasipo malipo yoyote
Hii ikoje, embu tupe maujuzi....nafahamu kuna online TV na ile live soccer TV ya simu but mara nyingi mtandao huwa ni changamoto as mawimbi hayawi clear inayopelekea picha kunasanasa...!!
AZAM TV Wameshatoa matangazo juu kurusha LIVE EURO kupitia Chanel ya ZBC2 ni sahihi naonaga mwenyewe matangazo yao kila siku kwenye tv ya Azam.
AZAM TV Wameshatoa matangazo juu kurusha LIVE EURO kupitia Chanel ya ZBC2 ni sahihi naonaga mwenyewe matangazo yao kila siku kwenye tv ya Azam.
Kifurushi cha 15000 tu!Ili kupata chanel hiyo unanunua kifurushi cha bei gani mkuu
Star times ataonesha copa america na si euroStartimes washa tangaza sana tu
Kwani Bein Sport yenyewe unalipa ngapi kwa kuona kama EPL nijuze apoKachukue Bein sport tu, league zote duniani hata hivyo ilikuwa dola mia tu kwa mwaka mpaka waluvyoanza kuonesha Epl imepanda 200$. Siku hizi wameongeza movie channels kama 9 na Geographic km 3. Zote ni HD tu
Mkuu kuna fundi aliniambia DSTV ndio wenye patent right ya kuonyesha mpira Tanzania hii , na akijua anakukimbiza umuache, sijajua ameingia mkataba na selikali au ni nani?Decorder ziko aina km 4 lkn nitakupa aina nzuri ndogo unanunua km dola 200 halafu unalipa km 200 tena unaona Epl, la liga, Italy, France, Bundesliga, champions league, Uefa, Caf ya makundi muhimu ni kila kitu na movies juu zote HD
Tanzania haina mkataba ni Epl wakati wana bid inakuwa katika inagawa rights, Bein walishinda Middle east na North Africa na Dstv wao rest of Africa. Unachukuwa Bein sio rasmi muhimu wewe ukipata signal nyumbani kwako agiza Bein decorder. Dstv wanaumiza watu sana mbona Bein bei inakubalika na unaona kila league. Ziko chanel 17 zote Hd sports.