rmvicentrm
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 147
- 26
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasiwasi wako tu mkuu.Siamini hio kifungasho chako.. Wewe sio tapeli kweli au hacker Watoto WA siku hizi Wajanja wajanja Sana kama Gwajima
Mbona haifunguki [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Naomba maelezo ya kina kwa yeyote anaejua kuhusu hawa watu.
asante sana
tafadhali pakuwa kwanza kifungasho
ngoja najitahidi natuma kwa mfumo wa picha pia kwa wale ambao device zao haziwezi supot pdf file
ndiyo kabisa mkuu, wasiwasi wangu ni uharali wa hii kampuni,me mwenyew nmeliona ilo tangazo na naona ni fursa nzr tu