Tairus
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 676
- 1,056
Kwa wale waliowahi kufanya hii biashara naombeni kujua ni jinsi gani wameweza kupanua wigo wao na njia gani walitumia
Kikubwa natamani sana kufahamu jinsi walivyofanikiwa since nimetokea kutamani sana kufanya lakini sijaona njia sahihi ya kwanza ili nisile loss ya muda na nguvu.
Nafikiria kutumia supermarkets mbalimbali.
Nafikiria kutumia maduka
Nafikiria kutumia instergram faceboo!
Nafikiria kutumia watu kusambaza being paid commission
Naombeni msaada..
Nataka kujua jinsi ya kufungua website na gharama yake naombeni msaada pia. PM
Karibuni.
Kikubwa natamani sana kufahamu jinsi walivyofanikiwa since nimetokea kutamani sana kufanya lakini sijaona njia sahihi ya kwanza ili nisile loss ya muda na nguvu.
Nafikiria kutumia supermarkets mbalimbali.
Nafikiria kutumia maduka
Nafikiria kutumia instergram faceboo!
Nafikiria kutumia watu kusambaza being paid commission
Naombeni msaada..
Nataka kujua jinsi ya kufungua website na gharama yake naombeni msaada pia. PM
Karibuni.