Naomba kufahamu kuhusu biashara ya kuuza uji wa ulezi "lishe"

Naomba kufahamu kuhusu biashara ya kuuza uji wa ulezi "lishe"

Tairus

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
676
Reaction score
1,056
Kwa wale waliowahi kufanya hii biashara naombeni kujua ni jinsi gani wameweza kupanua wigo wao na njia gani walitumia

Kikubwa natamani sana kufahamu jinsi walivyofanikiwa since nimetokea kutamani sana kufanya lakini sijaona njia sahihi ya kwanza ili nisile loss ya muda na nguvu.

Nafikiria kutumia supermarkets mbalimbali.
Nafikiria kutumia maduka
Nafikiria kutumia instergram faceboo!
Nafikiria kutumia watu kusambaza being paid commission

Naombeni msaada..

Nataka kujua jinsi ya kufungua website na gharama yake naombeni msaada pia. PM

Karibuni.
 
Back
Top Bottom