jamani wanandanda eti kutakuwa na harambee ya kuchangia ndanda sekondari na kama ipo je itafanyika wapi? lini? na utaratibu wake ukoje jaman,naomba kuwasilisha
Sekondari kuna transcript mkuu?.Kwa taarifa mimi EGM 2008,this month nilienda kuchukua transcript yangu
Sekondari kuna transcript mkuu?.
Sekondari kuna transcript mkuu?.
hajielewi huyo. Eti utasikia naye anadigirii.
Kwa taarifa mimi EGM 2008,this month nilienda kuchukua transcript yangu mkuu wa shule ikaniambia mwaka ujao in february kutakuwa na changizo hilo.jamaan mkuu wa shule yule ni mkarimu huwezi amini.hakika nilimpa details zangu ili muda ukifika wanitafute.
Nilimaliza Ndanda High school (PCB) kipindi hicho mkuu wa shule akiwa Rulukila.Kama ni kweli nitachangia.
Rulukila alitoka akaja david Joseph sowan(r.i.p)..and now saimon mongate