Naomba kufahamu kuhusu Idea Debater

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Wakuu salam

Kuna hii Application mpya imeingia mjini naona watu wanajiunga kwa kasi pia ninasikia wanapiga mno pesa.Kwamba ukiweka milioni moja inaongezeka kwa wastani wa 2.5% kila siku kwa hiyo baada ya siku moja unakuwa na ongezeko la 2.5% ma unaweza kuweka na kutoa muda wowote.Hii imekaaje?

Naomba kufahamishwa zaidi kwa wale wanaofahamu hii kitu.

Ahsante
 
SUBUTU UTAENJOY.
Kirahisi ivyo, utaita maji mma, utapigwa busuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…