Naomba kufahamu kuhusu kilimo cha matikitiki maji

Naomba kufahamu kuhusu kilimo cha matikitiki maji

MarianaTrench

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,212
Reaction score
941
Habari za Jumapili wanaJF. Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Ningependa kufahamu juu ya kilimo cha hili tunda la tikiti maji hasa yale ambayo yapo kama kijani na mistari myeupe namaanisha yale ambayo si kijani kama cha Tanesco.

Mambo kama aina ya udongo...aina za mbegu...kiasi cha maji na kama hayo.

Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom