Naomba kufahamu kuhusu kutumiwa mzigo kutoka nje ya nchi

lokua kanza

Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
8
Reaction score
0
Habari wana JF.

Mimi natakiwa hivi sasa kutumiwa kifurushi cha zawadi kutoka nje ya nchi, kwa hiyo nimempa mtumaji Sanduku la Posta.

Je, ni sahihi na inaweza kunifikia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…