lokua kanza Member Joined Oct 20, 2018 Posts 8 Reaction score 0 Nov 20, 2019 #1 Habari wana JF. Mimi natakiwa hivi sasa kutumiwa kifurushi cha zawadi kutoka nje ya nchi, kwa hiyo nimempa mtumaji Sanduku la Posta. Je, ni sahihi na inaweza kunifikia?
Habari wana JF. Mimi natakiwa hivi sasa kutumiwa kifurushi cha zawadi kutoka nje ya nchi, kwa hiyo nimempa mtumaji Sanduku la Posta. Je, ni sahihi na inaweza kunifikia?
Victor Mlaki JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 4,151 Reaction score 4,277 Nov 20, 2019 #2 Unapigwa na matapeli ndugu
TAJIRI MSOMI JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 496 Reaction score 515 Nov 20, 2019 #3 Itachukua muda ila kitakufikia
lokua kanza Member Joined Oct 20, 2018 Posts 8 Reaction score 0 Nov 20, 2019 Thread starter #4 mlakimtoto said: Unapigwa na matapeli ndugu Click to expand... Kivipi? nieleweshe
lokua kanza Member Joined Oct 20, 2018 Posts 8 Reaction score 0 Nov 20, 2019 Thread starter #5 TAJIRI MSOMI said: Itachukua muda ila kitakufikia Click to expand... Asante